1. | Arabia | [*Aràbia] m. Bara Arabu, Arabuni, Uarabu, Ulaya wa Waarabu, (la regione di Mascate) Manga, Umanga |
2. | Argentina (2) | [*Argentìna] f. Argentina |
3. | ara (1) | [àra] f. (di tempio) altare, madhabahu, meza ya kutolea dhabihu au kafara |
4. | ara (2) | [àra] f. (misura) kipimo cha eneo kilicho sawa na 100 mq |
5. | arabesca | [*arabésca] f. (danza) miondoko maalum (ya aina ya mchezo wa bale) |
6. | arabesco | [arabésco] A m. mchoro maalum (mwenye nakshi nyingi), vichoro, mchorochoro B agg. -a kiarabu Sin: fregio; ornamento; decorazione |
7. | arabico | [aràbico] agg. -a kiarabu, -a Uarabuni, (della regione di Mascate) -a Manga |
8. | arabile | [*aràbile] agg. |
9. | arabo | [àrabo] A agg. -a Kiarabu, -a Uarabuni, (della regione di Mascate) -a Manga, kimanga B m. Mwarabu, Mmanga, (lingua) Kiarabu, (lingua di Mascate) Kimanga |
10. | arac | [*àrac] m. ► arak |
11. | arachide | [aràchide] f. 1 (frutto) karanga, njugu, njugunyasa, karanga: olio d'~ mafuta ya karanga, nduu, (varietà dura del Madagascar) njugumawe 2 (pianta, Arachis hypog… 0.5 KB |
12. | arachis | [arachis] |
13. | aragosta | [aragósta] f. kamba (koche), kambamti, kambakochi |
14. | arak | [*àrak] m. araka |
15. | araldica | [aràldica] f. elimu ya nembo, unasaba na historia ya koo za kale, maarifa ya nasaba na ya alama zake |
16. | araldico | [aràldico] agg. -a nasaba, -a jadi |
17. | araldo | [*aràldo] m. 1 mleta habari, mjumbe 2 (proclamatore) mhubiri, mpiga mbiu Sin: portavoce; ambasciatore; messaggero |
18. | aranceto | [*arancéto] m. shamba la michungwa, kiunga cha michungwa |
19. | arancia | [arància] f. 1 chungwa (ma) 2 (selvatica) danzi 3 (piccola) kangaja |
20. | aranciata | [aranciàta] f. maji ya machungwa, juisi ya machungwa |