1. | ASCII | [ASCII] elab.) ASCII | 2. | Asia | [*àsia] n. pr. Asia | 3. | asafoetida | [asafoetida] | 4. | asbesto | [*asbèsto] m. bao la jiwe la nyuzinyuzi lisiloungua | 5. | ascaride | [*ascàride] f. mnyoo | 6. | ascaro | [*àscaro] m. askari | 7. | ascella | [ascèlla] f. kwapa (ma): mettere sotto l'~ -futika kwapani portare sotto l'~ -chukua kwapani, mvungu (raro) | 8. | ascellare | [*ascellàre] agg. -a kwapa | 9. | ascendentale | [*ascendentàle] agg. -a ukoo, -a wazee, -a nasaba | 10. | ascendente | [ascendènte] A agg. 1 -a kuinuka, -a kupanda, -enye kupanda, -naopanda, -naokwea 2 (influente) -a mamlaka B m. 1 (antenato) mhenga, babu (ma), mkale, mzee, jad… 0.9 KB | 11. | ascendenza | [*ascendènza] f. ukoo, nasaba, kizazi Sin: genealogia | 12. | ascendere | [*ascéndere] A intr. 1 -paa 2 (ammontare) -pata kiasi cha B tr. -panda, -kwea: ~ una montagna -kwea mlima, -paramia Sin: elevarsi; scalare; innalzarsi; salire | 13. | ascensione | [ascensióne] f. 1 kupaa, upaaji, upandaji (ma), mpando, mpanzo, pandio (ma), kukwea, mkweo, mwinuko 2 ( relig. ) Kupaa Bwana | 14. | ascensore | [ascensóre] m. kiinuzi, lifti, mwinuo, mnyanyuo, kipazo, mtambo wa kupandishia watu na vitu mpaka ghorofa za juu nyumbani | 15. | ascesa | [ascésa] f. kupaa, upaaji, upandaji (ma), mpando, kukwea, mkweo, mwinuko | 16. | ascesso | [ascèsso] m. 1 jipu (ma): l'~ è maturato jipu limeiva l'~ si è aperto jipu limetumbuka, tambazi (ma) 2 (della gola) halula | 17. | asceta | [*ascèta] m. e f. mshiriki Mungu, mtauwa, ajinyimaye vitu na mambo ya kufurahisha kwa ajili ya dhamiri yake Sin: anacoreta; mistico; eremita; monaco | 18. | ascetica | [*ascètica] f. elimu ya dini na ya ukamilifu wa moyo, utauwa | 19. | ascetico | [*ascètico] agg. -shiba Mungu: far vita ~ -shiba Mungu, -shiriki Mungu: far vita ~ -shiriki Mungu | 20. | ascetismo | [ascetìsmo] m. hali ya kujinyima anasa za mwili, hali ya kushiriki (kushiba) Mungu Sin: spiritualismo; misticismo | |