www.vessella.it www.changamano.org
 

Cerca / Tafuta

Prima pagina / Ukurasa wa kwanza

Se vuoi essere informat@ sugli ultimi articoli pubblicati, iscriviti al nostro NOTIZIARIO, premendo sul pulsante.

Corso di swahili

Vocabolario italiano-swahili

Redazione

Polisi Dodoma wameteketeza ekari mbili na nusu za mashamba ya bangi

2006-05-31


Polisi mkoani Dodoma wameteketeza ekari mbili na nusu za mashamba ya bangi katika milima ya kijiji cha Chololo kilichopo wilayani Kongwa.

Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Bwana Omary Mganga amesema mashamba hayo yalikuwa yanamilikiwa na wakazi wawili wa kijiji hicho Titus Sabugo, na Abineli Mbumi ambao wamekimbia kabla hawajatiwa nguvuni.

Kamanda Mganga amesema katika msako unaoendeshwa na jeshi la polisi mkoani humo wa kuteketeza mashamba ya bangi, kuwasaka majambazi na watu wanaomiliki silaha kinyume na sheria, wamefanikiwa kuwakamata silaha mbili aina ya gobore.

 

La polizia di Dodoma distrugge due ettari e mezzo di oppio

2006-05-31


La polizia della regione di Dodoma ha distrutto due ettari e mezzo di campi di oppio nelle colline del villaggio di Chololo, nel distretto di Kongwa.

Il comandante della polizia della regione di Dodoma, Sig. Omary Mganga, ha detto che questi campi erano di propriet? di due abitanti del villaggio, Titus Sabugo e Abineli Mbumi, che sono fuggiti prima di essere messi in carcere.

Il Comandante Mganga ha detto che durante la retata condotta dai poliziotti nella regione per distruggere i campi di oppio, hanno catturrato malavitosi e persone in possesso di armi illegali, sono riusciti a catturrare due armi del tipo ad avancarica.

( Nino Vessella)

Changamano ONLUS (www.changamano.org).

© Nino Vessella, 2003-.
Diritti riservati. Nessuna parte può essere riprodotta, in qualsiasi forma o mezzo, senza citare la fonte.
Ĉiuj rajtoj rezervitaj. Neniu parto povas esti reproduktita, en kiu ajn formo au per kiu ajn metodo, sen mencii ĉi tiun fonton.
Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kunakili sehemu yoyote bila kuitaja asili yake hii.
All rights reserved. No part may be reproduced, in any form or by any means, without mention of this source.