f.1 (
edificio) mjengo, chengo
(vy), jengo
(ma), nyumba:
~ di lastre zincate nyumba ya mabati ~ di pietra nyumba ya mawe2 (
appartamento) nyumba ya ghorofa, fleti
3 (
abitazione) nyumba
: seconda ~ nyumba ndogo ya mapumziko ~ rumorosa nyumba ya wavuvi le faccende di ~ madaraka ya nyumba donna di ~ mwanamke msimamizi hodari wa nyumba mettere su ~ -pata nyumba stare in ~ -kaa nyumbani4 (
famiglia, casato) familia, watu wa nyumbani, nyumbani, nyumba, jamaa, ukoo, aila, ahali, asili, jadi
5 (
comm.) kampuni
(-, ma), shirika (la biashara)
6 (
luogo, residenza) makani, makao, maskani, kiambo
7 (
patria) kwetu, nchi ya kuzaliwa
8 (
per comunità) hosteli, nyumba:
~ da gioco nyumba ya kucheza kamari ~ di riposo nyumba ya mapumziko ~ di salute nyumba watunzwamo wenye wazimu ~ di correzione nyumba ya kuadibisha na kuongoza watoto wabaya ♦ a ~ mia kwetu; a ~ sua kwake; aggiunta ad una ~ ubati (bati); altezza dei muri di una ~ kirugu; andare a ~ -enda kwake; cambiare ~ -hama; ~ a due spioventi shangama; ~ a terrazza tembe; ~ a tetto piatto tembe; ~ colonicanyumba ya shambani; kiunga; ~ del diavolo makelele; ~ di Dio kanisa (ma); ~ di campagna kiunga; ~ di cattiva fama danguro (ma); ~ di cura zahanati; ~ di educazione chuo wanamolala na kula watoto; ~ di malaffare danguro (ma); conduzione della ~ unyumba (ma); ~ equivoca danguro (ma); confinare in ~ -alika; -tawisha; -vumbika; corridoio nell’interno della ~ ususu; cosa simile ad una ~ nyumba; essere fuori ~ -tokuwako kwake; -wa nje; fondamenta di una ~ in pietra msingi; fondamento di ~ in calcestruzzo ufusio; fronte di una ~ ngao; gruppo di case o capanne mji; introdursi inopportuno in ~ di -fumania; la sua ~ nyumbaye; lo stare in ~ utawa; metter su ~ -oana; necessario per la ~ kifaa; ossatura di una ~ miti; padrona di ~ mwana (mamwana); padrone di ~ mwenyeji (wenyeji); parte di una ~ separata con un tavolato o paravento mkato; parte posteriore della ~ shuhuli; persona senza ~ hamiji (wa); piano superiore della ~ dari; relegare in ~ -vumbika; rimanere in ~ -tawa; scheletro di ~ indigena boma (ma); schiavo nato in ~ zalio (ma); senza ~ hamaji; trovarsi di ~ -jua sana; -zoelea sana; un’isola di case mtaa; è in ~ yuko; è malato in ~ anauguliwa